Loan board hawapo makini kwenye suala LA kufuatilia watu wanaofanya kazi kwenye taasisi zote maana k una watu wengi sana walianza kazi longtime wanashangaa kwanini hawajaanza kukatwa inatakiwa wafuatilie na kutoa adhabu kwawaajiri kama mifuko ya kijamii inavyofanya