Kwa Kwa Afrika Hilo Halipo Mkuu, Ndio Maana Simba Anacheza Na TP Mazembe, Yanga Wananunua Jezi Za TP Mazembe Na Kushangilia Mwanzo Mwisho!! Kama Ilivyo Huko Kigali Rwanda, Yanga Walivyopokelewa Na Mashabiki Wa RAYON SPORTS, Ambao Ni Wapinzani Wa APR!! Na Uwanjani Watapewa Sapoti Nao!!! Suala La Utaifa, Ni Kwa National Team Only!!!!