Haiwezekani kabisa huyo kibaraka wako kushinda, akifikisha asilimia moja atakuwa na bahati. Acheni ubwege wa kujipa matumaini hewa
Bora uchaguzi uishe arudi zake Belgium...
Kwani wanatarajia kumpiga risasi nyingine ili.aende kutibiwa Ubelgiji au ubelgiji arudi kwa ajili gani?
Tundu Lissu ameishi Ubelgiji sio kwa amri yake ila ni katika harakati za kupigania uhai, wake.
Akiwa Waziri wakati wa Mkapa Magufuli aliwahi kukaa ujerumani kwa matibabu baada ya kuugua ghafla.
Kwahiyo kutibiwa kunaweza kukufanya uwe mahali popote katika harakati za kupigania uhai wako
Haiwezekani kabisa huyo kibaraka wako kushinda, akifikisha asilimia moja atakuwa na bahati. Acheni ubwege wa kujipa matumaini hewa.
Haiwezekani kabisa huyo kibaraka wako kushinda, akifikisha asilimia moja atakuwa na bahati. Acheni ubwege wa kujipa matumaini hewa.
VIBARAKA WAKO KATIKA NAMNA TOFAUTI NCHI HII
Ukitaka kujua beberu halisi hapa nchini fikiria hivi.
Tanzania ni nchi masikini,hilo halina ubishi na Tanzania inategemea kilimo na wananchi wake 70% wanategemea kilimo.
Marekani na Canada ni mataifa tajiri sana Duniani na ndio huko kuna watu tunao waita mabeberu.
Sasa twende kwenye hoja, hivi kiongozi wa nchi kama Tanzania, unaweza kutumia busara gani, kuwakopa wakulima masikini mazao yao, halafu ukawa na ujasiri wa kutumia hela hiyo hiyo uliyo paswa kuwalipa wakulima na kwenda kuwalipa CASH matajiri mabeberu wa Marekani na Canada, ili wakuuzie ndege ambazo zinatumiwa na 2% ya watanzania wote!?
Tukisema viongozi wanao fanya maamuzi hayo wanakua na maslahi binafsi na wanakua ni sawa na mawakala wa mabeberu tunakua tumekosea!?
Halafu wanasema yeye ni wa wanyonge,wanyonge wapi !?