Mi nnazo 400000
hivi hii kampuni ya tigo kwa nini wanawaruhusi hawa wahuni kutuuzia line mitaani, yaani ukienda ofisini kwao wanakuzungusha ili mradi tu uje mtaani wakuuzie. kampuni kubwa mnafanya mambo ya kihuni ??? ebo hebu komesheni huu use.......e inatakiwa tuje ofisini kwenu tulipie mtupe risiti na tuendelee kuwafanyia kazi huku mitaani sasa mmewaruhusu hao wafanyakazi wenu wahuni watulangue ? polisi nao wamekodoa mimacho tu! pu.....vu xanaKwa wale wanaohitaji line za tigopesa mnaweza nitafuta kwa namba 0754891344. Bei yake ni 450,000
Kwa wale wanaohitaji line za tigopesa mnaweza nitafuta kwa namba 0754891344. Bei yake ni 450,000
Unaweza ukatengeneza tangazo lako ili uuze hizo line zako humu unafanya nini kama wewe si mnunuZi?
Kwa hiyo mi nifanyeje kama unazo kwa laki nne?