Ligi Kuu ya Vodacom 2013/2014

Niweke mambo sawa tu kwamba mimi ni shabiki wa Azam FC.
Ni shabiki wa Man City vile vile. mwisho wa msimu mkiwa mnatoa pongezi msinisahau.
 
Kikosi cha Simba ni hiki: Dhaira chollo babaubaya kaze owino mkude redondo homoud mombeki tambwe chanongo.
Pembeni atakuwa Abuu, Miraji Adam, adeyun, Zahoro Pazi, Sino, Marcel, messi, neymar, n dogo m1 katoka abajalo, ndemla, edo, shevishenko, kipalamoto, Mkoko, gallas, Hassan Khatib, wengine mtanikumbusha
 
Niweke mambo sawa tu kwamba mimi ni shabiki wa Azam FC.
Ni shabiki wa Man City vile vile. mwisho wa msimu mkiwa mnatoa pongezi msinisahau.

Kwanza, karibu sana Mkuu na asante kwa kujitambulisha mapeema. Pili, sisi tuko fair ikitokea unastahili pongezi , tutakupatia, zipokee lakini pia unapostahili 'madongo' yapokee pia tena kwa shukrani. Asante sana.
 

Tumefukuza vibaraka wake wote na tukasajiri wachezaji wa timu siyo wa kiongozi ndiyo maana hakuna mchezaji hata mmoja aliesajiriwa na mtu safari hii...Majembe yameingia jana unatarifa hizo halafu natamani nikuone umevaa uzi wa CCM...
 
Mashabiki wote mliohamia AZAM kutokea SIMBA mwaka huu kwenu ni MAJANGA tu.
huku mitaa ya twiga na jangwani ikiwa raha.
 

Nakuunga mkono kwa kuisusia Simba, hizi ndizo harakati zenyewe. Lakini kushabikia Manchester no, hawa watu wanaendelea kututumia kwa kila namna, kuna maana gani kutochangia timu zetu halafu unachangia biashara za wazungu. Ndio, Manchester ni kampuni na inaingiza siku wewe unapokaa bandani na kupaza sauti kuishabikia...
 
mkuu kwa kikosi chako cha madogo, msimu huu hauhitaji kombe nini? naona unataka kugombea nafas ya 4 na kina kagera/mtibwa

Wale madogo ni wazuri sana, tatizo hawapewi nafasi, kuna washambuliaji nao ni Marcel Kaheza, Zahoro Pazi, Rashid Ismail, Ramadhani Kipalamoto na Edward Christopher hawa wakiingia kwenye sebule hawakukosi; Kuna mawinga nao Frank Sekule, Ramadhani Singano, Ibrahim Twaha na Haruna Chanongo, hawa wanakimbia na chaki na wanapiga cross za kufa mtu; kuna viungo wa dimba la juu nao ni Abdalah Seseme, William Lucian ni wataalamu wa penetration pass, kuna viungo wa dimba la chini nao ni Jonas Mkude na Said Ndemla, hawa ni hatari kwa kupandisha timu na kuwalinda mabeki na kuna huyu Said Ndemla ni mtaalamu wa mipira iliyokufa, tukipata mpira wa adhabu karibu na eneo la 18 hilo ni goli kwa asilimia 90 akipewa huyu dogo kupiga.
 
mwaka huu yanga ambaye amezoea kununua itakuwa ngumu sana..

Wengine nani kawakataza kununua? Siku hizi nyie hamnunui kwa sababu Friends of Nyau hawapo? Yanga inanunua wachezaji si zaidi ya hapo. Nyie mnauza wachezaji na kununua marefa. ndio tofauti ya timu hizi kwa sasa.
 

Value for money. Ninapotumia my hard fought money nataka maximum benefit from the product and services I buy.

Heri nitumiwe na Man Utd kuliko kutumika na Simba inayotumika kisiasa. Siku hizi people pay to watch the best.
 
Mkuu sii vibaya niki kurekebisha hapo WABABE, m-babe pekee ni Azam, hao wengine ni wakongwe.
 
Msimu huu Azam asipochukua ubingwa napumzika kushabikia soka la bongo.
 
Mashabiki wote mliohamia AZAM kutokea SIMBA mwaka huu kwenu ni MAJANGA tu.
huku mitaa ya twiga na jangwani ikiwa raha.

Je, namimi nilie hama yanga na kuamia Azam hayata nikuta hayo majanga? "Yanga ni kama sinema ya kihindi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…