lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
kila anapokwenda jk lazima hule mapambe wake anaye mbegea mizigo awe kwa nyuma au pembeni, lakini nashanga leo hayupo au wakienda USA uwa anatolewa? tufaamisha wakuu na nchi yetu ya kijima
President Jakaya Kikwete (2nd R) signs a world map indicating different areas where the U.S Peace Corps Volunteers have been working since 1961.The event was held at State House in Dar es Salaam yesterday.
Labda hakuruhusiwa kuingiia kwenye hicho kikao.
kila anapokwenda jk lazima hule mapambe wake anaye mbegea mizigo awe kwa nyuma au pembeni, lakini nashanga leo hayupo au wakienda USA uwa anatolewa? tufaamisha wakuu na nchi yetu ya kijima
President Jakaya Kikwete (2nd R) signs a world map indicating different areas where the U.S Peace Corps Volunteers have been working since 1961.The event was held at State House in Dar es Salaam yesterday.
kila anapokwenda jk lazima hule mapambe wake anaye mbegea mizigo awe kwa nyuma au pembeni, lakini nashanga leo hayupo au wakienda USA uwa anatolewa? tufaamisha wakuu na nchi yetu ya kijimaPresident Jakaya Kikwete (2nd R) signs a world map indicating different areas where the U.S Peace Corps Volunteers have been working since 1961.The event was held at State House in Dar es Salaam jamani tujiulize swali hapo prezd Dr MKWEREE anasaini mkataba gani na hao Us Corps? Au ndo yale yale ya Richmond na Dowans.
mkuu mbona umechemsha au hukusoma kabla uandike?
[/COLOR]
Mimi nikienda kwa jirani yangumara kwa mara aidha kwa kusalimia au vinginevyo na yeye anawajibika kuja kwangu hivo hivo la sivyo naacha kwenda kwake, sasa huyu mkulu kila kukicha naona yuko USA hivi analijua hilo?
mkuu mbona umechemsha au hukusoma kabla uandike?
[/COLOR]
Jamaa kakurupuka kabla ya kupost!! soma kitu ukielewe ndo ushirikishe wadau! It was in Dar!
nyie ndio mnakurupuka mimi namjua huyo ni balozi wa usa hapa bongo hapo ni ikulu
nilikuwa na maana USA wakienda IKULU mpambe anafukuzwa?