na kama mtekelezaji hatekelezi inavyotakiwa sehemu pekee ambayo una window wa kumrekebisha ni bunge peke yake.Kwenye bunge unaweza kupeleka hoja yoyote kulalamikia utekelezaji wa demokrasi ,kama una wawakilishi wa kutosha hoja yako itapita,kama haitapita na wanainchi wameona unaweza kutumia kama silaha kumshambulia mpizani wako wakati wa kampeni ya uchaguzi unaofuta..Mambo CDM inayofanya sasa hivi fujo tu sio demokrasia.