Wadau ni kampuni au mashirika gani ni leaders na ni mfano katika kutumia teknolojia mbali mbali za ICT
Kwa wanaojua tutaje kampmuni au shirika katika kila kigezo ambalo tunadhani liko fit na kweli mtu akienda kujifunza pale hatakaa tu kwenye dawati.
kaka vipo vingi sana na vingi vipo kiaiashara zaidi so vya uhakika na vinavyosifika
1. st joseph
2. ucc
3.ifm
4.dct
vyote ni nivizuri mnooo ila st joseph ni bei mno. na wa mwaka wa mwisho wanapelekwa nje.kusoma
Wadau ni kampuni au mashirika gani ni leaders na ni mfano katika kutumia teknolojia mbali mbali za ICT
Kwa wanaojua tutaje kampmuni au shirika katika kila kigezo ambalo tunadhani liko fit na kweli mtu akienda kujifunza pale hatakaa tu kwenye dawati.
kaka vipo vingi sana na vingi vipo kiaiashara zaidi so vya uhakika na vinavyosifika
1. st joseph
2. ucc
3.ifm
4.dct
vyote ni nivizuri mnooo ila st joseph ni bei mno. na wa mwaka wa mwisho wanapelekwa nje.kusoma
Honesty,
Miye nilidhani Mtazamaji anamaanisha sehemu ambayo mtu anaweza kufanya real market exposure to practice the theoretical knowledge aliyopata kwenye hivyo vyuo ulivyotaja.
Maana vyuo mara nying wanabase sana kwa theory either kwa kukosa muda wa kutosha au walimu wengine hawako competent in practical aspects.
That is why they have field practical/training, and with my experience most of students struggle a lot in securing a 'right' place.
I stand to be corrected.
Honesty,
Miye nilidhani Mtazamaji anamaanisha sehemu ambayo mtu anaweza kufanya real market exposure to practice the theoretical knowledge aliyopata kwenye hivyo vyuo ulivyotaja.
Maana vyuo mara nying wanabase sana kwa theory either kwa kukosa muda wa kutosha au walimu wengine hawako competent in practical aspects.
That is why they have field practical/training, and with my experience most of students struggle a lot in securing a 'right' place.
I stand to be corrected.
mzee IFM ni kizurii,ila dah life yake iko tyt,inabidi ujitume kweli kweli ndo utoke pale,
i know how the chuo is!!!
mzee IFM ni kizurii,ila dah life yake iko tyt,inabidi ujitume kweli kweli ndo utoke pale,
i know how the chuo is!!!
You can say that again.......