inawezekana hizi simu zina tatizo la screen ama, maana yangu pia imefunjika (yenyewe) kutokea juu kushoto kwenda kulia, japo inafanya kazi au ni mchina?
inawezekana hizi simu zina tatizo la screen ama, maana yangu pia imefunjika (yenyewe) kutokea juu kushoto kwenda kulia, japo inafanya kazi au ni mchina?
Mkuu hiyo cm nadhani ni ya mchina na kama ni ya mchina nakushauri ununue cm nyingine tu wala usijaribu kutafuta screen yake,nasema kama mtaalam wa hivi vitu