Lazima upate kinyaaa!

Maisha haya unatakiwa kujipanga**

usipotumia hakiri lazima utashika panga**
 
Mkuu ww ni kioo cha jamii nimekukibali ila umeniangusha apo unapokosea kwenye A ukaongezea H
 

mwana fasihi nafikiri u ndugu yangu toka Shinyanga, huko tushangaapo twaduaa!

Kariakoo nakujua, nielekeze BUGULUNI na MWANANYAMARA nami nipate japo kwa uduchu kuduaa.

vipi hizo bidhaa zipo za kuonjeshwa kwa ridhaa?

Chenji usishau kumrushia mjomba maduhu, japo vocha ya buku.
 
Darasa la 7 wamemaliza mitihani yao, tutakoma sasa kuringaa ..
 


Joo karikoo mtaa wa mnyamwenzi, hakika utaduaa**

Neenda hospitali mwanyamala, lazima upate kinyaa**
 
Maisha ni kutulia Mwanaaa**
Bila mipango ni balaa**
Ukiiba utachomwa Kitaa**
Hata kama umeiba Kidagaa**
Ukipata utaringaa**
Ukikosa Utaliaa**
 
mbona mnawasema vibaya wanaojiuza, wanaturahisishia sisi tusojua kutongoza,
wa mtaani wana ngoma na yaani namaanisha wameoza,
mi nafurahi huduma nayopata fasta fasta najipoza
sipotezi muda kfikiria mapenzi kuyawaza
baadhi ya watu watashangaa na watasema wananipoteza,
wewe kama mwanaume unatakiwa kujiongeza,


ngoma sipati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…