Lawrence Mafuru aibukia CRDB

Hakeem makamba

Senior Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
123
Reaction score
41
Mkurugenzi wa Mtendaji wa zamani wa Benki ya NBC Bw.Lawrence Mafuru ameshinda kwa kura nyingi nafasi ya kuwa mjumbe huru wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Pamoja nae Waziri Mkuu mstaafu Bwana Fredrick Sumaye naye ametetea nafasi ya ujumbe wa bodi ys Benki hiyo. Source: Habari Mseto Blog
=================================


 
Bwana Mafuru ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu katika masuala ya fedha ila nashangaa hapewi nafasi au jina lake halijakaa kama wale wenzetu.
 

Nini majukumu ya mjumbe huru ndani ya bodi?
 
Corporate Governance - Kuisimamia management kwa niaba ya Shareholders
 
Heri yake. Lakini hawa watendaji wa mashirika ya umma kuna vitu vichafu wanaficha AMA wanashiriki kufanya...tatizo la NBC si la kawaida.
 
Bwana Mafuru ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu katika masuala ya fedha ila nashangaa hapewi nafasi au jina lake halijakaa kama wale wenzetu.
mafuru ni mkurugezi wa idara mmoja wapo wa idara ofisi ya rais ufuatiliaji(presidential delivery buereu)
 
Bwana Mafuru ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu katika masuala ya fedha ila nashangaa hapewi nafasi au jina lake halijakaa kama wale wenzetu.

Keshapewa nafasi mkuu, pale President's Delivery Bureau (PDB)- Ni Director
 
Bwana Mafuru ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu katika masuala ya fedha ila nashangaa hapewi nafasi au jina lake halijakaa kama wale wenzetu.

Acha kuleta udini hapa ,mbona NBC iko hoi bin taaban ?
 
Acha kuleta udini hapa ,mbona NBC iko hoi bin taaban ?

NBC inaliwa na makaburu. We unajua kuwa faida inayopatikana bongo ndio inayolipa na mishahara ya wafanyakazi wa SA
 
Jiwe walilo likataa waashi sasa limekua jiwe kuu la pembeni...
Piga mzigo kaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…