Laptop used kwa bei ya jumla.

SN.BARRY

JF-Expert Member
Oct 12, 2012
4,040
8,905
Wapi zinapatikana?? Na bei yake!! Nahitaji >8, plz kama unafahamu nijulishe mkuu, bei yangu 200000-250000
 
Wapi zinapatikana?? Na bei yake!! Nahitaji >8, plz kama unafahamu nijulishe mkuu, bei yangu 200000-250000
hdd 80
pentiam 4
ram 1 - 2
Brand dell toshiba na compaque

hizo specs zinakufaa? kesho nikuletee mzigo
 
hdd 80
pentiam 4
ram 1 - 2
Brand dell toshiba na compaque

hizo specs zinakufaa? kesho nikuletee mzigo

nimepata mkuu, ila next month mwishoni nitahitaji nyingine, nitakucheki mkuu.
 
Wapi zinapatikana?? Na bei yake!! Nahitaji >8, plz kama unafahamu nijulishe mkuu, bei yangu 200000-250000

Wasiliana nasi tutakutumia kutoka China kwa bei nzuri na zinakuwa alsmost the same as new, unaweza pitia nyingine kwenye website ya kampuni yetu.Wasiliana na mimi on whatsapp kwa information zaidi.

Traders Easy Way-We Supply According to your Budget - Company Introduction

Traders Easy Way-We Supply According to your Budget - Laptop Computers

Traders Easy Way Co., Ltd
Add
:23rd floor, Room 2304,Longsheng Mansion,No. 23 Hongwu Road, Nanjing, China
Tel
: +86 25 8688 0195
Mobile:+86 159 9648 1355 (Komba)
Email:komba@traderseasyway.com
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…