hapa sio mahala pake peleka takataka zako pengine.
It doesnt matter kwani maswala ya laptop cyanahusiwna na elimu pia.
hapa sio mahala pake peleka takataka zako pengine.
sio yanahusiwna bali yanahusiana ila hapa advertisment sio mahala pake...hilo neno advertisment najua nmekuacha ila usijal hapa ndo jf utajua tu maana ake.
Da eti umemuacha ki jineno hicho ... acha dharau wewe.
sio lazima kucomment kila post et..
acha shobo wewe...
mevurugwa eeh.
Unajua nn dansel mtu mwenye akili timamu hawezi kumdharau asiyemjua ivi mtu na akili zako timamu unaweza kumwambia mtu ndani ya jf especially jamvi la elimu kuwa hafahamu maana ya advertisement! ! Alafu anajiita man of steel, are you man of steel or woman of steel?
Si ndo nashangaa, unajua watoto wa darasa la saba, siku hizi nao wanaccess na internet ndo wanatuletea jam humu
nimetaka kukuheshimu kumbe na we dharau ipo kifuani ,nani darasa la saba humu ndani.Na una tofauti gan na unaemlaumu humu ndani.
"Think twice too"
Toa mwiba matak.oni kisha ukae ndo utoe wa mguuni.