Unatakiwa ujibu je manura hajawahi kufanya makosa yakaigharimu timu?
Hivi yale magoli aliyo fungwa siku ya Yanga ni magoli anayo takiwa kufungwa kipa anaye jiita bora?
Ayobu ni kipa mzuri alicho kifanya ni makosa ambayo yanaweza kufanywa na kipa yeyote bila kujali ubora wake.
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app