Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,949
Kwa style hii ya Membe na JK hili ziwa lishachukuliwa.
Mtu pekee anayeweza kulirejesha baada ya 2015 kama sio CDM kuchukua nchi ni Lowasa kama CCM watampitisha
Je unafikiri ndio solution halisi?It's very simple really, maji ya ziwa yote yanatokea mito iliyoko Tanganyika. Kwa hivyo tukiya-divert maji ya hiyo mito kuelekea ziwa Rukwa ziwa Nyasa (or whatever they call it) halitakuwepo. Ama tuna share au wanakosa mwana na maji ya moto.
This article has nothing new! It is just a continuation of Malawi's illusion on the ownership of this lake. Quoting Downing street memoirs and concluding that the lake belongs to Malawi is a blatantly flawed line of argument. The same Heligoland contract which always Malawians are basing their claims on has been proved on a number of times that it was inconclusive and it left the matters to responsible partners (powers sharing the boarder) to make a final decision - which was never made during colonial era and an attempt to do it after independence has always met resistance from Malawians.
This matter can only be decided by international court, which Malawians are not ready to go to, since they know that the principles of international law cannot grant them the whole lake. Let the Malawians dream on, but truth remains to the fact that they own a part of Lake Nyasa that falls only on their side. The other parts are owned by Tanzania and Mozambique.
Hatutakiwi kutetewa na wangeleza lazima tujitetee wenyeweyani mtu kazaliwa mbamba bay, kakulia ziwani, maisha yake entirely yanategemea uvuvi, leo hii aambiwe kuvua eneo hilo anahitaji kibali toka lilongwe.., wht the fuc..k!
hawa wazungu ni wapuuzi sana.., waliigawa afrika kwa maslahi yao bado sasa hivi wanataka kuleta maamuzi ambayo hayana common sense, na mkumbuke UK haiwezi kuitetea tanzania afterall, previously, we were under germany authority,
This is typical neo-colonialism
Liwe tuu la kwao kwani rasilimali ngapi tunazo lkn bado hazitusaidii.