Arsenal ingekuwa kwenye zile ligi kuu za South America,huyu Wenger angeshakoswakoswa na mafataki au kukimbizwa na gari uwanjani.Chezea barra bravas wewe!kareonke mwenzenu ana ridhika na mwenendo wa tim, ye ako kibiashara zaid, kwa kweli sioni wenger akiondoka Arsener Fc hivi karibuni
Ishangilie mdogo mdogo tuu
HahahaArsenal ingekuwa kwenye zile ligi kuu za South America,huyu Wenger angeshakoswakoswa na mafataki au kukimbizwa na gari uwanjani.Chezea amigos wewe!
Kwa hiyo Una kufa naye?yeah nasikia ameapa hivyo ,Gudiola me namuamini anachokizungumza 100%
Away goal ndio linafanya tuache usingizi wetu tuangalie usiku wa ulaya likifutwa tu tunawaachia uefa yaoMkuu haina bei ya mkaa rejerea neno la kwanza la heading(Labda ...... away goal ni goli na mezani effortless)
Tena wanaweza wakawa wanaomba watolewe na man city afuzu.Madrid leo watacheza bila fulaha maana aliepita fainali yupo kikazi kweli kweli..
Upo mkuu?At hana uwezo wa kumtoa bayen
Bado unamuamini....?yeah nasikia ameapa hivyo ,Gudiola me namuamini anachokizungumza 100%
Bayern atashinda ila atashinda njaa
Thumb up mkuuNawapenda wote so atakayeshinda yeyote poa tu! Unajua watu wanaichukulia poa sana Atletico lakin hawa jamaa ni nyoko! Wanaweza fanya chochote muda wowote!
Uzuri haya maandishi hayafutiki basi tusubiri hiyo siku panapo uhai.
Bahati haikuwa yao.!Ni maajabu ya kweli, walijiamini kupita kiasi.
Ndugu huyu Wenger anatutesa sana washabiki, msimu ujao akiwepo itabidi nijiweke kando Na ligi ya EPL.Hahaha
Madee alisema Wenger angekiwa bongo ilibid yeye awe jela maana angekuwa alisha mshambulia kwa silaha kitambo
Hahahaaah haya yanamuhusu sana kwa kweli.Arsenal ingekuwa kwenye zile ligi kuu za South America,huyu Wenger angeshakoswakoswa na mafataki au kukimbizwa na gari uwanjani.Chezea barra bravas wewe!
Uzuri haya maandishi hayafutiki basi tusubiri hiyo siku panapo uhai.
Tumesubiri kilichotokea ndio hivyo tena hakuna ubaya maisha yanaendelea au sio ndugu?Jipangeni Hahaha
Naimani sasa hivi upo unaangusha konyagi za kutosha