Kweli nasema Simba leo akishinda nipigwe

Hiyo timu imejaza mashabiki oyo oya sana.
 
Tunasubiria points zetu 3 tena msimu huu tuchukue Kombe.
 
Ukiwa unatazama mpira mabandani kaa nao mbali unaweza dungwa hata kisu mkuu wengi ni hamnazo😆
 
Ishawahi tokea hiyo banda umiza ule mgoli wa Kibu Mkandaji nikashangaa kuona shabiki wa Uto anamwaga michanga kwenye banda
Yani wenye weledi ni wachache mno ndio maana mtu asiye na utulivu kama manara tulimtoa asee😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…