Ndugu zangu,
Nimekaa nikitafakari kuhusu uroho,uchu,ufisidi wa watanzania tulio wengi sipati jibu.Kwanini tunasemana vibaya kila mahali tulipo?Kwanini uzalendp umebaki kwenye makaratasi?Ni juzi tu imeraifiwa mtoto wa mkubwa mmoja kaingiza cementi tani nyingi tu huku kukiwa na viwanda vya wazawa.Kwanini tunawanyenyekea wageni na kujisahau ya kuwa hii ni nchi yetu?Kwanini tunaangamiza nchi hii kwa madawa ya kulevya?Kwanini utanganyika wetu hatuutetei wenzetu wako busy na harakati za kuteeta visiwa vyao?Why Kwaniniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!???
My dear,
Binadamu wengi tunajisahau, tunathamini pesa kuliko utu, tunatazama matumbo yetu bila kujali hali ya mtu wa pembeni, tuko radhi kusababisha huzuni kwa mtu mwingine ili sisi tucheke.
Kusemana ovyo siku izi imekua kama njia ya kujisafisha ilihali ni kujichafua na kuzidi kujipaka matope, n abov ol ni kupoteza muda wa kufanya mambo ya muhimu.
uzalendo umebaki kwenye makaratasi sababu kila anaye shika madaraka fulani hasa siasa, anakua na dream ya kuwa na tajiri badala ya kuwa na ndoto za kuiokoa nchi yake, though atajitetea kwa point nzuri zenye ladha nzuri sana, na kuact kua ni "hero" wa nchi.
Tunawanyenyekea wageni sababu ya kupenda kulelewa kimsaada, "a begger can never be a chooser" tutafata yale amabayo wao wanataka unless tubadilike. hilo la kwanza bt mbili ni kua wenzetu wanajijali wenyewe, once they get money, wako radhi kuwa watumwa forever bila kujali kuwa wamewapeleka pabaya wananchi wanaliowategemea na kuwaamini mpaka kuwakabidhi majukumu.
Watu hawana hofu ya mungu tena, wanaabudu pesa na mali, ndivyo wanavyoona vya muhimu, Mungu aturehemu sana.