mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ndugu zangu,
Nimekaa nikitafakari kuhusu uroho,uchu,ufisidi wa watanzania tulio wengi sipati jibu.Kwanini tunasemana vibaya kila mahali tulipo?Kwanini uzalendp umebaki kwenye makaratasi?Ni juzi tu imeraifiwa mtoto wa mkubwa mmoja kaingiza cementi tani nyingi tu huku kukiwa na viwanda vya wazawa.Kwanini tunawanyenyekea wageni na kujisahau ya kuwa hii ni nchi yetu?Kwanini tunaangamiza nchi hii kwa madawa ya kulevya?Kwanini utanganyika wetu hatuutetei wenzetu wako busy na harakati za kuteeta visiwa vyao?Why Kwaniniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!???
Nimekaa nikitafakari kuhusu uroho,uchu,ufisidi wa watanzania tulio wengi sipati jibu.Kwanini tunasemana vibaya kila mahali tulipo?Kwanini uzalendp umebaki kwenye makaratasi?Ni juzi tu imeraifiwa mtoto wa mkubwa mmoja kaingiza cementi tani nyingi tu huku kukiwa na viwanda vya wazawa.Kwanini tunawanyenyekea wageni na kujisahau ya kuwa hii ni nchi yetu?Kwanini tunaangamiza nchi hii kwa madawa ya kulevya?Kwanini utanganyika wetu hatuutetei wenzetu wako busy na harakati za kuteeta visiwa vyao?Why Kwaniniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!???