Huyu mbuzi kweli, unajiropokea tuu, nimesoma udom na prospectus miaka yote inatolewa. Sema wakati mwingine hampati wanafunzi wote. Ila ukifatilia unapata. Afu kuweka online ni ili nini? Wewe kwa sasa tafuta student by law. Iyo hadi uingie chuoni na usajiliwe.