Kwanini mkoa wa Mbeya?

Nikajua utataja at least wahubiri wakubwa 15 na waimbaji wa nyimbo za injili at least 40 kutoka Mbeya!! Kumbe una taarifa robo tu!
Halafu hapo uliposema sijui sheikh Mazinde aliuliza sijui kuna nabii mnyakyusa sijui nini nini thread yako ulitaka kuipeleka kwenye mlengo gani? Nahisi unahitaji kukanyaga mafuta kwa Mwamposa wewe na unywe maji ya upako!! Karibu Mbeya
 
Ungekuwa unajua kitu kinaitwa neema usingeuliza ,kiufupi neema ni upendeleo anaoutoa Mungu mwenyewe kwa kusudi lake ni kama vile alivyoamua kuchagua taifa la Israel litumike kupeleka injili duniani
 
Mkoa wa mbeya wa arabu nadhani awakufika kabisa tofauti na mikoa mingine kidogo ina balance katika mambo ya dini.

Mbeya nadhani ndo mkoa wa kwanza kwa Tanzania kufikiwa na wazungu na kuwakuta bado awajajua mambo ya dini tofauti na sehemu zingine ndo maana unaweza kwenda mbeya vijijini usione msikiti hata mmoja.
 
Mbeya ina matapeli wengi kwa sasa utapeli umehamia kwenye dini na gospel pale hakuna cha Mungu wala nini
 
Hata kupatwa kwa jua MUNGU alipanga yafanyike mbeya ila watu wakaishukuru serikali ya awamu ya tano tu
 
NIMEZALIWA MBEYA NIMEKULIA MBEYA

Ni Hakika Mbeya Inamakanisa Mengi Sana Yani Hadi Uchochoroni Tena Yapo Ya Kutosha Watu NI Kumsifu Yesu Tu Mpaka Mda Mwingine Mimi Mwenyewe Licha Ya Kuzaliwa Huku Huwa Sielewi Kuna Nini HILI NI JIJI LA KRISTO

MBEYA NA ULOKOLE NI KAMA SAMAKI NA MAJI

Uhalifu Ulikuwa Zamani Sana Tena Sana Wageni Karibuni HUKU NI INJILI TU NA MISOSI YA BEI CHEE.
 
Kuna sehemu inaitwa Simike Nigeria ipo Mbeya kwa mujibu wa wenyeji wa eneo hilo wanasema waliita ivo kwakufananisha na Nigeria kutokana na uwingi wa makanisa
 
Uhalifu upo mkuu nimekabwa zaidi ya mara tatu maeneo ya Sterio,Fine na Mafiati pale vibaka ni wengi mnoo aisee
 
Umesahau na wachuna ngozi, wapiga nondo za kichogoni, waganga wa kienyeji wote wanatokea Mbeya,
 
Uhalifu upo mkuu nimekabwa zaidi ya mara tatu maeneo ya Sterio,Fine na Mafiati pale vibaka ni wengi mnoo aisee
SEHEMU AMBAYO HAINA UHALIFU NI MBINGUNI TU AMBAKO YUKO BWANA WETU YESU KRISTO.

Ninacho Kanusha Ni Huyo Mleta Uzi Kuzungumzia Uhalifu Wa Zamani Sana Na Kuuelezea Nyakati Hizi Kana Kwamba Upo Mpaka Sasa Mfano Alipo Sema Kupigwa Watu Nondo Na Kuchunwa Watu Ngozi Huo Ni Uhalifu Wa Kizamani Ambao Sasa Hivi Sijawahi Sikia Tangu Miaka Hiyooo Zamani Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…