Huliza
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 448
- 1,114
Naulizia hii ya waimba nyimbo za injili, Wachungaji wa makanisa ya kilokole kwanini wengi wanatoka mkoa wa Mbeya?
Hawa wachungaji wa Mbeya wametapakaa nchi nzima wakihubiri injili na wokovu, Huwa najiuliza maeneo ya Dar es Salaam mengi mpaka mitaani wachungaji wa haya makanisa wengi wao wanatoka mkoa wa Mbeya
Je nini kipo nyuma ya huu mkoa wa Mbeya?
Je huko Mbeya kuna shule nyingi za biblia kuliko maeneo mengine?
Je Mbeya hii imani ya Kuhubiri na kueneza ulokole ina Misingi kutoka nchi gani?
Mfano hawa ni baadhi ya wachungaji wenye asili ya Mbeya na wenye majina makubwa na kuna wachungaji wengi wapo mkoani na hata maeneo mengi ya miji mikubwa
1.Mtume Mwamposa,Na kuna shehe (Ustadh Mazinde) aliwahi uliza hivi kweli Mtume anaweza kuwa mnyakyusa na akotokea Mbeya?
Shehe Mazinde aliumia baada ya kuona waislamu wanatoka Zanzibar na Tanga kwenda kuombewa na Mwamposa
2.Mwalimu Mwakasege.Huyu kwa wale wasiofungamana na upande wowote wengi wanamfahamu sana na anafuatiliwa na malaki ya watanzania kwa mafundisho yake
Inasemekana baada ya Lagos Nigeria kwa Afrika mkoa wa Mbeya ni wa pili Afrika kwa kuwa na makanisa mengi
Inasemekana kila baada ya hatua kadhaa mkoa wa Mbeya utakutana na makelele watu wakiimba na kusifu huku wachungaji wakitoa injili na maombi ya nguvu
Turudi kwenye waimba kwaya na Gospel kwa ujumla, Nadhani hapa ndio mwisho wa kazi yenyewe, Watu wa mkoa huu ukiwakuta wanaimba kwaya, wanaimba kwa hisia sana na unaweza Fikiria Leo ndio mwisho wa hii dunia
Maajabu wanaimba na kulia sana lakini mkoa wa Mbeya hauishi matukio ya vituko na maajabu kila wakati
Mwaka huu kuna mlima hapo Mbeya umesababisha ajali mfululizo haijawahi kutokea na ukamfanya Makamu wa Rais Philip Mpango kwenda kutazama eneo husika linalosababisha ajali, Cha kushangaza baada ya siku kadhaa wachungaji wakaenda kupiga maombi hapo Mlimani
Hawa wachungaji wa Mbeya wametapakaa nchi nzima wakihubiri injili na wokovu, Huwa najiuliza maeneo ya Dar es Salaam mengi mpaka mitaani wachungaji wa haya makanisa wengi wao wanatoka mkoa wa Mbeya
Je nini kipo nyuma ya huu mkoa wa Mbeya?
Je huko Mbeya kuna shule nyingi za biblia kuliko maeneo mengine?
Je Mbeya hii imani ya Kuhubiri na kueneza ulokole ina Misingi kutoka nchi gani?
Mfano hawa ni baadhi ya wachungaji wenye asili ya Mbeya na wenye majina makubwa na kuna wachungaji wengi wapo mkoani na hata maeneo mengi ya miji mikubwa
1.Mtume Mwamposa,Na kuna shehe (Ustadh Mazinde) aliwahi uliza hivi kweli Mtume anaweza kuwa mnyakyusa na akotokea Mbeya?
Shehe Mazinde aliumia baada ya kuona waislamu wanatoka Zanzibar na Tanga kwenda kuombewa na Mwamposa
2.Mwalimu Mwakasege.Huyu kwa wale wasiofungamana na upande wowote wengi wanamfahamu sana na anafuatiliwa na malaki ya watanzania kwa mafundisho yake
Inasemekana baada ya Lagos Nigeria kwa Afrika mkoa wa Mbeya ni wa pili Afrika kwa kuwa na makanisa mengi
Inasemekana kila baada ya hatua kadhaa mkoa wa Mbeya utakutana na makelele watu wakiimba na kusifu huku wachungaji wakitoa injili na maombi ya nguvu
Turudi kwenye waimba kwaya na Gospel kwa ujumla, Nadhani hapa ndio mwisho wa kazi yenyewe, Watu wa mkoa huu ukiwakuta wanaimba kwaya, wanaimba kwa hisia sana na unaweza Fikiria Leo ndio mwisho wa hii dunia
Maajabu wanaimba na kulia sana lakini mkoa wa Mbeya hauishi matukio ya vituko na maajabu kila wakati
Mwaka huu kuna mlima hapo Mbeya umesababisha ajali mfululizo haijawahi kutokea na ukamfanya Makamu wa Rais Philip Mpango kwenda kutazama eneo husika linalosababisha ajali, Cha kushangaza baada ya siku kadhaa wachungaji wakaenda kupiga maombi hapo Mlimani