Kwanini Lowasa hapaswi kuongea sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,534
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, waziri mkuu mstaafu anagombea urais tena kupitia upinzani. PM ni mtu mwenye siri nyingi za serikali hivyo anapaswa kuchunga ulimi asije akaropoka. Uchaguzi huu viongozi wa ccm kama mafarisayo watamtega sana Lowasa ili kwa kauli zake wamtie kizuizini. So wananchi waelewe tofauti na Magufuli au Dovutwa, Lowasa kuna viapo na kanuni za kiusalama wa nchi zinazombana kama kiongozi mkuu msaidizi mstaafu. Thats why Mkapa alipanic baada ya Sumaye kuihama ccm
 

Kweli Sanaa
 
Lowasa hataki kujifunza uimbaji taarabu kama aliyekua mkuu wake wa zamani . sababu ukimwona mtu anaongea sana jua hua nimwongo siku zote . Mzee lowssa yeye anajua kufanya kazi tu wapiga ngonjera wanajulikana Mara picha za kutengezwa mara moto wa mabua .
 
Gonjwa hilo akisimsma kwa dakika45 nitakiunga na ukawa. Hawezi afya alipofikiya siyo rafiki ni mgonjwa sana ila mama wa kiringa analazimisha .vinginevyo ataondoka kwani masai yule kwao hakuna mvaa gauni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…