Kwanini Katika Website ya HTC hawaitambui HTC ONE M9+

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,683
Mara kadhaa nimekuwa nikienda google na kuangakia specifications za HTC ONE M9 PLUS naziona pale zimewekwa na Simu ipo lakini nilipo ingia kwenye website ya HTC sioni wakiitangaza wala kuzungumzia HTC ONE M9+ kikubwa wana niambia Device not Found!

Sasa najiuliza je hizi huwa zinakuwa Fake au huwa inakuwaje


NA KINGINE HIVI HIZI ACCESSORIES TUNAZO UZIWA BONGO ZOTE NI FAKE AU INAKUWAJE MAANA BEI YAKE NI TOFAUTI NA ZA HUKO

earphone inauzwa zaidi ya 80,000 kweli? Akati huku bongo 8000 hadi 30000 hivi
 
Earphone za htc ni za beat by Dr dree hizi ni ghali lakini kwa kuwa zinazonakuja huku kwetu ni fake ndio maana unapata kwa bei hizo.
 
Earphone za htc ni za beat by Dr dree hizi ni ghali lakini kwa kuwa zinazonakuja huku kwetu ni fake ndio maana unapata kwa bei hizo.
Anhaaaa ndo maana mimi nikitaka kuzipata hizo nafanyaje mkuu
 
Earphone za htc ni za beat by Dr dree hizi ni ghali lakini kwa kuwa zinazonakuja huku kwetu ni fake ndio maana unapata kwa bei hizo.
Hizo ni za zamani, htc washakwamisha mkataba wao na Monster (Beats) tokea zamani hawa sasa hivi wamenunuliwa na Apple ndio maana ukienda kwenye website ya apple utakuta wanauza bidhaa za Beats by Dre.


Na kwa mtoa mada hizi headphones tunazonunua bongo zote ni low quality zipo meant kwa watu wa hali ya chini, hata hizi headphones pia zinazokuja na simu ni low quality ukitaka kusikia mziki wa kweli nunua IEMs (In Ear Monitors) au hata Xiaomi piston, Phillips, Sony, Skull candy.. zina cost kwanzia $ 50-100 + yani Mkuu nilivyo sikiliza hizi high quality earphones siku amini kwamba miaka yote nilikuwa nasikiliza mziki mchafu kwenye hizi headphones low quality.



Na hiyo htc m9 plus ipo ila tatizo aikuwa released USA ndio maana haipo kwenye hiyo US website. Lakini ukifungua htc India utaikuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…