tukishatofautiana sasa unanibatiza Mungiki.........................ipo kazi hapa...................upofu wako ndio umekupeleka huko...........lengo hapa ni kupashana habari siyo kutukanana..................na bahati mbaya wala huonyeshi hata kama unaelewa mada iliyopo mbele yako inakuhitaji utoe mchango upi.........................tunaweza kutofautiana ni jambo la kawaida lakini matusi haya.......................hayana tija hata chembe.........