mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
Chei chei!
Leo, kama ilivyo cku zote, nilienda washroom kukojoa, Dushe langu likanambia limeshamaliza kukojoa! Nilipoirudisha ndani ya zipu ndo nikajua kua DUSHE limeniongopea. Kuna tone la mwisho la mkojo ambalo hua linadondokea boxer/suruali yangu kila siku. Sasa kwanini dushe linambie limemaliza wakat likurudi ndani kuna tone lamwisho lazma lidondoke??!
Kwa miaka zaidi ya 20 sasa nimekua nikiuvumilia uongo wa hiki kiungo changu pendwa cha mwili, Dushe! Mpaka nimeamua kuileta kwenu hapa, yamenifika shingoni. Nashindwa kuvaa kadet zangu za khaki ambazo nazpenda kwakua nguo za khaki zinaathiriwa zaid na TONE LA MWISHO la mkojo linalotolewa na Dushe yangu...Myuuuuuu! I hate it kwakweli!
Hivi, nipo pekeangu ninaeongopewa??
Leo, kama ilivyo cku zote, nilienda washroom kukojoa, Dushe langu likanambia limeshamaliza kukojoa! Nilipoirudisha ndani ya zipu ndo nikajua kua DUSHE limeniongopea. Kuna tone la mwisho la mkojo ambalo hua linadondokea boxer/suruali yangu kila siku. Sasa kwanini dushe linambie limemaliza wakat likurudi ndani kuna tone lamwisho lazma lidondoke??!
Kwa miaka zaidi ya 20 sasa nimekua nikiuvumilia uongo wa hiki kiungo changu pendwa cha mwili, Dushe! Mpaka nimeamua kuileta kwenu hapa, yamenifika shingoni. Nashindwa kuvaa kadet zangu za khaki ambazo nazpenda kwakua nguo za khaki zinaathiriwa zaid na TONE LA MWISHO la mkojo linalotolewa na Dushe yangu...Myuuuuuu! I hate it kwakweli!
Hivi, nipo pekeangu ninaeongopewa??