Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Nao
Naona kushindana na kushindwa kwenu ni sifa machadema kweli ninyi ni malofaJiwe hakutegemea kama atapata ushindani awamu hii tangu nimemsikia aliposema ataibadilisha Tanzania kuwa kama ulaya mpaka sasa kimya
Amepima upepo ameona hana uwezi kabisa wa kushindana na lisu kwa sera nawaza sijui jiwe atawaambia nini wananchi