KWANI NA WAO NI MACHINGA...!?

JAH CITY

Member
Joined
May 24, 2016
Posts
40
Reaction score
71
Salama....
Nawakumbusha tu wale vijana walioajiriwa na baadae kufutwa kazi....wajiulize kama na wao ni machinga? Maana kwa sasa tunashughurika na machinga tu.
Ikizidi sana na wachimbaji wa dogowadogo...hizi ndizo ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…