Boyfriend15
Member
- Jul 22, 2022
- 45
- 102
Acha tu kaka[emoji26][emoji26][emoji119]
Dah! 😅 Sasa kama kujitolea mnasema ni mtiti je, Akitaka kuwa employed kabisa?
Hawatoi nafasi za kujitolea ili mtu upate experience, lakini wakitangaza kazi vigezo vyao wanahitaji uwe na experience. Sasa hiyo experience naipataje Kama nimetuma Maombi kibao ya kujitolea kwenye makampuni lakini wanassma nafasi hazipo
Mimi nahitaji experience kwanza siwezi kueka maokoto mbeleMkiitwa hata kabla ya interview mnaanza kuulizia maokoto badilikeni bla ivo mtasota kitaa sn
Mpaka kuja kuandika ni kwamba sina connection yeyote mkuu[emoji26]Jaribu kucheki mabro unaofahamiana nao, wanaweza kukupa a b c za hapa na pale
Tukae kimya tu sijui hata tunaelekea wapiDah! [emoji28] Sasa kama kujitolea mnasema ni mtiti je, Akitaka kuwa employed kabisa?
Ndio taasisi zetu hizo tanzania[emoji26]Hawatoi nafasi za kujitolea ili mtu upate experience, lakini wakitangaza kazi vigezo vyao wanahitaji uwe na experience. Sasa hiyo experience naipataje Kama nimetuma Maombi kibao ya kujitolea kwenye makampuni lakini wanassma nafasi hazipo
Nishaenda bado hakuelewekiNenda TaeSA kijana.
Shida hiyo internship lazima ushikwe mkono hata kama nauli hutaki.Dar ishakuwa cheap labour zone mpaka imefika extent waajiri hawaajiri tena kwakuwa wahitaji ni wengi mno, kinachofanyika ni kuchukua interns tu waje watumikishwe weeeee bila malipo na muda wako ukiisha wachukue wengine. JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala seeking experience, zipo namna zingine za kuishi fam laasivyo tutaendelea kuwa watumwa wa hiyari.
Kuna shule inahitaji mwalimu wa book keepingNawasilisha kwenu mabosi na wafanyakazi mliopo maofisini
Mimi ni kijana nina miaka 23 mzaliwa wa mbeya lakini kwa sasa ni mkazi wa dar es salaam
nina degree ya ACCOUNTING AND FINANCE IN BUSINESS SECTOR niliopita chuo kikuu Mzumbe ni fresh graduate
Pia nina experience kidogo ya sales na cashier(supermarket)
Nina ujuzi wa mifumo mbalimbali ya uhasibu (Accounting packages) kwenye tally prime na quick book
Pia nina knowledge ya computer application (MS WORD, EXCEL)
Natafuta kazi yeyote au internship kwaajili ya kuongeza experience Naamini ninaweza nikaongeza kitu katika kampuni/taasisi
Jamani kama kuna nafasi sehemu naiomba hiyo fursa
Natanguliza shukrani zangu
NB. Kazi yeyote hata nje ya taaluma yangu nipo tayari kuifanya
0621774403