Kwani aliomba akanyimwa?

Jamaa ----- kweli alikuwa anakaa naye muda wote huo na mpaka anafika geto alifikiri ni dada yake sio?
Acha wenye visu vikali wajilia nyama
 

Matokeo ya uwongo hayo. Dume unajifanya demu wako kumbe mshkaji,masela wakila mzigo.Unalalama.
 
Ukienda kwa jirani sema shida yako mapema.... Kaja mwenzako kasema unalalama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…