Kwako Mzee Yusuph

Naona mapovu ya mashangingi yanaanza kwenye Uzi
 
Mwacheni Mzee atumie kipaji chake. Omari Koppa alikufa kwa ngoma.
Mzee Yusuph Bora atumie kipaji chake. Vyuma vimekaza mlitaka akaibe ?
 
Kama sio denser au video vixen basi utakua promoter
Ila ndugu yetu hapo ametoa nasaha kwa muislamu mwenzake na pia ukumbusho kama ilivo ada kwa waislamu,lakini pia mkate utafutwe kwa njia ya halali
Kingine ndugu yangu unaelewa maana halali/halisi ya KIPAJI na matumizi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…