Kwaheri airtel internet!!!!!!

A VILLAGER

Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
27
Reaction score
6
Mbali na kuongeza gharama maradufu za kutumia Internet kwa wanaotumia modem, ni wiki moja sasa mtandao huu umeelemewa kabisa, hata kufungua email inashindikana! yaani ni zaidi ya slow. ninachofurahi imenifanya kupata mbadala iliyo bora zaidi. kwaheri airtel
 
Pole sana wenzio siku mingi tulishatupia panya modem za airtel sasa kitu ttcl landline
 
Wengine ndo kwanza tumehamia, hebu tudokezee mabaya yake!
 
Nimehamia juzi tu bado sijaona mabaya yake.!!
 
kuna wakati nilijaza droo ya meza vipeperushi vya makampuni ya simu, lengo ilikuwa ni kutafuta penye unafuu. Kumbe ukiona nafuu ujue spidi ni ya konokono!
Nilifikia hatua ya kuamini kuwa internet ni kwa ajili ya kundi la watu wenye nazo!

Asante Paje siku hizi siangalii ukubwa wa file, nafahamu kupakua tu! Spidi ndio kama niko ubalozi wa Marekani! Kwi!kwikwiiiiiiiiii!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…