BREAKING NEWS:
LIVERPOOL YATHIBITISHA STEVEN GERRARD KUONDOKA WAKATI WA KIANGAZI (BAADA YA MSIMU HUU):
Liverpool wamesema kuwa Steven Gerrard ataondoka timu hiyo baada ya msimu huu kuisha.
Hivi karibuni Gerrard alitimiza miaka 16 akiwa klabuni hapo, lakini nguvu yake imekuwa na misukosuko na ameamua kuendelea na changamoto nyingine.
Liverpool walikuwa wanajaribu kumsainisha Gerrard mkataba mpya, lakini inafikiriwa kuwa anaelekea nchini Marekani kuendelea kucheza mpira huku LA Galaxy ikiripotiwa kuongoza mbio za kumsajili.
LIVERPOOL YATHIBITISHA STEVEN GERRARD KUONDOKA WAKATI WA KIANGAZI (BAADA YA MSIMU HUU):
Liverpool wamesema kuwa Steven Gerrard ataondoka timu hiyo baada ya msimu huu kuisha.
Hivi karibuni Gerrard alitimiza miaka 16 akiwa klabuni hapo, lakini nguvu yake imekuwa na misukosuko na ameamua kuendelea na changamoto nyingine.
Liverpool walikuwa wanajaribu kumsainisha Gerrard mkataba mpya, lakini inafikiriwa kuwa anaelekea nchini Marekani kuendelea kucheza mpira huku LA Galaxy ikiripotiwa kuongoza mbio za kumsajili.