Vijitabia vyenyewe kwa mfano:simu yako imeita anataka apokee yy ukimkataza anaanza kununa,msg ikiingia kwenye simu yako anataka aanze kusoma yy,Kakupigia simu labda ulikua busy ukamwambia utamtafuta badae anasusa jumla,Kakwambia mkutane umepata dharura aelewi kama kuna ki2 kingine cha muhimu kumzidi yy.
Hayo ni machache2 bt kweli yanaboa sana.Nadhani suluisho ni kumpeleka kama anavyotaka pale inapowezekana uku ukijaribu kumuelewesha kupitia kila 2kio bila kusau kumuonyesha kua haupendezwi na tabia zake.Hapo labda itapunguza