Kwa Warangi tu...!

wadada zenu watamu sana. hapo tu ndo nnapo wapendea
 
Je mimi niliyeowa dada wa kirangi ambae wazazi wake waalihamia Arusha japo haelewi kuongea kirangi tunapewa ukaribisho huo katika group tuluusike Kilaangi
 
Je mimi niliyeowa dada wa kirangi ambae wazazi wake waalihamia Arusha japo haelewi kuongea kirangi tunapewa ukaribisho huo katika group tuluusike Kilaangi

Nkamia at work
 
Namwari kura ba nini halafu nakutangire wee sha mwanamaka!
 
siyo siri ni watamu balaa,nilikuwa nae mmoja mda si mrefu,
 
Wa usalama wa taifa wamejazana kama wachaga TRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…