Kuna rafiki yangu baada ya kuhisi anatepeliwa na demu akaamua kupanga siku aende na demu wake mkono kwa mkono mpaka kwa dokta ili waitoe, demu alivyojua wateondoka na msela, ikabidi yule demu acheze dili na yule dokta kwamba apokee zile hela halafu wagawane.
Jamaa kufika demu wake, dokta akasema ni kweli na anatakiwa atoe hela, ikabidi msela ajikamue atoe.
Jamaa kuja kugundua aliingizwa mkenge alichoka, anakwambia wanawake si watu.
sijakuelewa mkuu kwani wewe unatoa sh ngap?? yab\n hal ya maisha unasema 120 ni ndogo au na wewe ni gamba???
akija na rafiki yake nampotezea najifanya nimepata emergency then nampa buku ya nauli na samahani nyingi then nasepa kama noma na iwe
matangazo ya condoms hamyasikii
Hivi we matangazo yoooooote hayo ya kinga hujayasikia?Kutokana na ugumu wa maisha na ukame wa hali ya juu ktk vipima joto vya akina dada zetu, na waombapo msaada kwa mabasha zao hutoswa, hivyo wamegundua mbinu mpya ya kujipatia mkwanja mrefu kutoka kwa mabasha zao. Ifuatayo ndio mbinu husika;
demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?
Sijakuelewa unamaanisha nini?
Do you support uchunaji?
At the same time ur worried with HIV prevalence..
Amua moja..
kuchunwa suna!
Mi demu akinambia ana mimba yangu nabadili line tu.
Kutokana na ugumu wa maisha na ukame wa hali ya juu ktk vipima joto vya akina dada zetu, na waombapo msaada kwa mabasha zao hutoswa, hivyo wamegundua mbinu mpya ya kujipatia mkwanja mrefu kutoka kwa mabasha zao. Ifuatayo ndio mbinu husika;
demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?