Unapokea taarifa kiroho safi,japo maumivu yatabaki ndani kama kawaida yetu,lakini kutokana na maamuzi yake hayo usije lewa bange zako ukamtafuta tena,ww kausha japo miaka mitano hata ikitokea amekutext usijibu,wewe kausha endelea kutafuta pesa,
Hakika nakwambia ataumia yeye mwenyewe maana wengi wao huwa wanajaribu kuchezea koki,mwisho wa siku huishia kulowa tu