Kwa wanaohusika tu!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Waafrika, hasa Waswahili tumekuwa wepesi sana wa kujidanganya, mara ohh wazungu wa baridi, mara wazungu hawana shepu, mara wazungu kitandani gogo.
Nani kasema?
Sitaki kusimulia alichonitendea bibie huyu.
Kwanza ana ngwenye ya kutosha, hata kina Sikitu, Mwanjaa, Mwajuma na Mwanne hawaifikii, ana ujoto wa kwenda chule, kiuno laini kama kimewekwa haidroliki, guu la kufa mtu, kwa mahaba usisime.
Hakika kanifanya nimsahau kabisa@mamndenyi, naomba ladyfurahia uniombee ili ndumba za Mamndenyi na shoga yake mpambe nuksi mwaJ zidunde, niendelee kula raha na wangu mwandani.

 
Last edited by a moderator:
Naona umepata zigo la haja...

Mpwa Kaizer usipite kabisa mitaa hii...
 
Last edited by a moderator:
mkuu hongera kama umefika bei basi lipia kabisa mimi nitachangia mafuta ya boda boda kwenda kufunga ndoa mahali popote.....
 
salaam pia kwa wale mnaojidanganya kwamba wazungu wana vibamia. kuna mzungu mmoja nilimuonaga siku moja hivi anamdushelele huo kina mudi, ngosha, asajile, wote cha mtoto.
 
Bujibuji amevurugwa
tena kavurugwa vya kutosha,
na leo atajuta kuona jua.

 
Last edited by a moderator:
Bujibuji loooh
hapo umepata au umepatikana
jisemee tu ukweli,
hicho kidudu si ni lazima ukitafute
kwa tochi, loooh.

 
Last edited by a moderator:
utaiona kweli hata hiyo papuchiiii ahhhaaaaaaaaaaaa
 
sina muda wa kupoteza kaka kufanya jambo hillo unalotaka nifanye
maana umeamua wewe mwenyewe hivyo kama kufanya maovu
fanya sana na kama kufanya mema fanya sana malipo ni
hapahapa duniani na mbingun ni uzima wa milele
hayanihusu hayo kwaheriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Huyu lazima atakuwa mdogo wake na Mikel Ruffinelli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…