Kwa wanaohitaji uyoga

Kwa wanaohitaji uyoga

davycom

Senior Member
Joined
Mar 18, 2009
Posts
101
Reaction score
27
Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam.

Bei:
Kilo 1 ni Tsh 8000
Delivery fee: Tsh 2000

Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.

d057c343c150d024543df9c1aa4db940.jpg


6f8aed1c07f77136e8adfd9c0c3a3f34.jpg


b1852f442e5b4d964a0edd9ea864c07c.jpg


6e069db096ed0db71337560397065250.jpg


dbcf94c084f7fb1854f1f04aecdf1527.jpg


e973a2dfe0004c9b019e603db3b2c150.jpg
 
Naupenda sana uyoga but nauogopa,maana kuna mwingine una sumu
Inategemea ni aina ipi ya uyoga, kuna uyoga inayoliwa (edible mushrooms) ambayo huoteshwa kwenye mashamba kama inavyoonekana kwenye hizo picha. Uyoga unao uogopa ni ule unaopatikana porini ambao upo tofauti kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom