Kwa wana UKAWA tu

Kweli tuwe makini sana,Magufuli yupo vizuri

NA ENDAPO CCM IKASHINDWA, CHAMA KISIITWE TENA CHAMA CHA MAPINDUZI. MAANA ya JINA ITAKUWA IMESALITIWA. "MAPINDUZI DAIMA" itakosa maana. nina imani ccm haina sababu za kushindwa.
 
Suwezi kuacha kuishabikia yanga kisa Amis Tambwe ni mamluki kutoka simba VIVA LOWASA VIVA.
 
Ni wajinga tu wanaoamin mabadiliko yataletwa na lowasa
 

Hata wakimroga mtikila
Ukweli lazima uwekwe wazi
Lowasa hatoshi kuwa rais
na hatakuwa
 
Dah!
SASA KAMA LOWASA NIWA KUCHONGWA, SI UHAMIE KWA MAGUFULI WA KUFYATULIWA?

NDIO MAANA UKAITWA UCHAGUZI.

He he eti UVCCM leo wawa wana-UKAWA!!!
 
Mtu uko c.c.m halafu unatudanganya eti ni mwana ukawa!?
-kwani ukawa ni chama huu ni muungano wa vyama hivyo kuuelezea kwa misingi ya kisiasa naona umekurupuka sana....!

.
.swali la kujiuliza kwanini baada ya kutuma thread jukwaani watu wa kwanza wote kuchangia ni wana c.c.m?

-"c.c.m acheni siasa za kinafiki....hazitawapeleka popote mwaka huu.."
 



"tumesaritiwa"!!??
Jinga sana veve rudi shule kwanza.....!
 
jamani ukawa ni chama? kimesajiliwa lini? chama kinachotambulika ni chadema ndio maana anaitwa mgombea wa chadema akiungwa mkono na waliokuwa wanatetea katiba iliyopendekezwa na wananchi. wana muunga mkono tu lakini kisheria chama ukawa hamna,
cuf, nccr cjui nini mmepigwa changa la macho msicheze na wachaga/watu wa kilimanjaro/ arusha nyie hapa ni madili ya hela tu kila kitu ni mradi mtu akifika dau tunampa mzigo hatulali njaa (joke)
 
Nilidhan ni uzushi kusema kuna watu wametumwa... Kumbe ni kweli... Ndo nayaona sasa
 
Hili suala la "CHADEMA kuuzwa" "CHADEMA asilia" na mauza uza mengine hayawasaidii kwa sasa!!!
 

huna a.ki.li ww , wapo watu wanao kula panya,wengine nyoka, wengine nguruwe kama ww hutaki kitu fulani achana nacho kimya kimya
mm nakufuatilia nikajua unaleta kitu kilicho kwenda shule kumbe mkunungu huo
nenda zako,
kuna story moja ya kima na mamba darasa la tatu naona ndio unayo yeta ww mamba unadanganya kima ila sasa janja yako ndogo,mamba alimwambia kima wakiwa wanavuka bahari kua mama yake mgonjwa na dawa yake nimoyo wa kima ,kima akamwambia mamba kuwa ni mzembe kwa nn hakumweleza tangu walipomkua nchi kavu maana ameacha bags and bags za mioyo ,mamba akamrudisha kima amchukulie hiyo kitu agegede looh kima alipo kwea juu ya mti akamwambia mamba
sikia mm sio rafiki yako na siyumbishwi na uroho na unafki wako nenda zaako, sikutaki tena
na mm nakwambia ukome kutuita wanaukawa hapa kuturubuni kwa upeo wako mdogo, kaa chini na unyooshe miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…