Huyu jamaa kakulia outside ndo maana hana ushambaWe jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!
Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!
Nakukubali sana mkuu, Salute!
Bila samahani mkuu....SORRY nje ya mada kidogo ,umesema kiimani hamruhusiwi kuhusiana na imani nyingine mambo yanayohusu ibada,vp mnavyoombaga dua pamoja na makonda au magufuli ndani ya msikiti sio ibada?? vp mwakyembe mlivyoshirikiana nae swala ya maiti ndan ya msikiti sio ibada? vp pesa za kujenga msikiti wa chamwino zilivyochangishwa kanisani na zikapokelewa msikitini na msikiti ukajengewa sio ibada?? vp shekh mkuu alivyoomba dua kwa jina la yesu dua sio ibada
🤣🤣Huyu jamaa kakulia outside ndo maana hana ushamba
Umetisha mkuu 😀😀😀Raha ya kitimoto muwe watu watano.
Ziwepo roast kilo 4 na ndizi kumi na tatu na sauce ya kutosha na zile pilipili ndefu..
Sanjari na hiyo kuwepo na kavu kilo mbili na kachumbari nyingii.
Halafu awepo chali mmoja ambaye Hana hela mchango wake Ni stori mafuriko ya beer yakianza.
Sehemu yenyewe iwe chini ya mti wenye kivuli halafu bar iwe na mabarmeid wazuri wakichaga waliochangamka.
Nenda majani mapanaTanga inapatikana pande zp
Hana uharamu wowote acha wogaKwa nini Mungu alimuunba nguruwe huku anajua fika kabisa ni haramu.
Punguza ujinga hizo wewe 😂😂😂😂Raha ya kitimoto muwe watu watano.
Ziwepo roast kilo 4 na ndizi kumi na tatu na sauce ya kutosha na zile pilipili ndefu..
Sanjari na hiyo kuwepo na kavu kilo mbili na kachumbari nyingii.
Halafu awepo chali mmoja ambaye Hana hela mchango wake Ni stori mafuriko ya beer yakianza.
Sehemu yenyewe iwe chini ya mti wenye kivuli halafu bar iwe na mabarmeid wazuri wakichaga waliochangamka.
dah had mate yamenitoka😝Nishasema kitimoto ni dhambi
Kitimoto ni dhambi
Nguruwe ni haramu
Narudia nguruwe ni haramu
Hiyo menyu ni balaa full majaribu
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasemaView attachment 1640976View attachment 1640977View attachment 1640978View attachment 1640979View attachment 1640980