kabla ya yote ingia http://www.saut.ac.tz
kaka SAUT joining instruction imeeleza kila kitu...
kuna CoZ ambazo wao mpaka ureport ndio wanakupangia Mkoa...
coz hizo ni B.aDminstration...Law.....educatiob na sociogy tuuu ...
unaweza tupiwa Main mwanza Tabora songea na Bukoba na hata Lindi...
au Piga SAUT namba zipo kwenye hiyo link nilomiyokutumia!!!!!!