Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,348
Ndugu wanajamvi nadhani nyie ni mashaidi wa hawa ndugu zetu wa bongo movie wamekuwa wakilalamika kuwa soko la muvi zao linakufa na Mimi naweza kusema limekufa kabisa,lakini wachawi ni wenyewe I mean Wamejiroga,maana kila muvi story ni zilezile wanakosa Ubunifu wa kutengeneza story kali na mpya,hapa inawagusa watengeneza story.yaani hawa jamaa wameshindwa hata kuunganisha matukio yaliyotokea Tanzania,wakati wa kupigania uhuru na baada ya uhuru hadi sasa na kutengeneza muvi au tamthilia zinazohusu tz before and after uhuru? Au matukio yalotikisa nchi yetu katika kila awamu?mfano awamu ya 5,tumeona ya kina Tindu lisu assassination attempt,jinsi eneo la tukio zilivyo ng'olewa CCTV camera na jinsi kesi ilivyofunikwa,mtu unaweza cover story yote ya lisu,makinikia ya madini Kati ya serikali na Acacia,kupotea kwa Tsh 1.5 trillion na kufunikwa nk nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app