JK hana kura; hatudanganyiki; Zanzibar pia ni Seif; Mkapa katoa vitisho tena wakati alisababisha umwagaji damu 2001; hata hajasahau, nawasiliana na wanasheria niwenze kufungua mashitaka dhidi ya JK maana amenitumia message ambayo naona ni kuingilia uhuru wangu wa faragha; nipeni vifungu nifanye hivyo