Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Kabla ya kumchagua Kikwete,,jiulize maswali yafuatayo!
1. Una maisha bora?
2. Wezi wa EPA wamepatikana?
3. Amekutajia majina ya wale waliomrudishia fedha za EPA?
4.Amewachukulia hatua gani baada ya kurudisha?
5. Km wewe ni mfanyakazi,amekwambia ana shida na kura yako?
6.Unajua Hatma ya Kigamboni?
7.Kati ya ajira million mbili,umebahatika hata moja?
8.Wazee wa A.Mashariki wamelipwa?
9.Unajua lilipo kaburi la mtanzania mwenzako Balali?
10.Kwanini anaogopa midahalo?
1. Una maisha bora?
2. Wezi wa EPA wamepatikana?
3. Amekutajia majina ya wale waliomrudishia fedha za EPA?
4.Amewachukulia hatua gani baada ya kurudisha?
5. Km wewe ni mfanyakazi,amekwambia ana shida na kura yako?
6.Unajua Hatma ya Kigamboni?
7.Kati ya ajira million mbili,umebahatika hata moja?
8.Wazee wa A.Mashariki wamelipwa?
9.Unajua lilipo kaburi la mtanzania mwenzako Balali?
10.Kwanini anaogopa midahalo?