Emory Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 492
- 630
- Thread starter
-
- #21
Biashara nzuri na ya kweli ni ile inayofanyika kwa uwazi na kila mmoja aijue, hizi biashara za pm huwa siziamini sana any naomba kujua bei ya samsung galaxy s3&s4
PM ndo wapi eti mi sielewi hii biashara
Weka mambo hadharani pamoja na bei
Hapana mkuu yawezekana
hujanielewa kidogo. Mtaji ninao na ndio maana ninauwezo wa kununua mzigo
nitakao pewa order kabla hela yako haija fika mkononi kwangu. Ishu ni
kuwa utalipia bongo kwanza, then siku 2-3 ndio unapata mzigo wako, hii
inatokana na kuwa hzo siku mbili ni 3 ni zakusafiri mzigo. Na malipo
kabla ya bidhaa hiyo ni defense kwangu kutoka kwa usumbufu wa kuleta
mzigo afu mtu asiulipie.
Uaminifu ndio kipaumbele
Hujui biashara. Tafuta coz ya ujasiria mali huko china. Mambo ya ku pm ni nini? Akitokea mtu akalipa then uumpe bidhaa baadae natembea uchi tz nzima
naomba mawasiliano yako tufante biashara;please including mobile number and e mail;mine is:0784413039
Kwahiyo bei zinakuaje? Kama shop au kidogo zinapungua?
Mfano simu inayouzwa huko China shop US $100. Hafu mtumba hiyo hiyo ikauzwa US $70 huko China, ukizileta Tanzania utauzaje? Ku-include usafirishaji na faida?
Natafuta Xiaomi Mi3 na Lumia kati ya hizi: 1020, 1520, 920. Napendelea used coz bei am sure itakua cheap SANA.
Huawei P7 min na Sonny Experia Z1 na huawei P6 zinaweza kuwa bei gani?
mkuu naomba untbp /msg kupitia 0653303119, ME nahtaj laptop& cm.
Samahan kama nitakukwaza ila ni maon yangu tu haya:-
1. Biashara yako unaifanya kwa kificho sana hata ofisi yako ilipo hutaki kusema au TRA wataleta shida
2.Bei inapokuwa wazi unavutia wateja wengine. asume mie najua samsung galaxy s5 inauzwa 1.3M tsh original, mie sina uwezo wa kununua...wewe ukaweka bei yako ni 0.9M Tsh, itanifanya nibadil mawazo.
so weka bei zako wavuta wateja zaidi,,,vinginevyo labda huitaji wateja wengi..
Hii ya kuitana vichochoron (pm) inaweza leta hisia ya utapeli so watu wakaogopa kujitokeza na kuzama kariakoo
haya ni maon yangu tu
Mkoa gani?
UPDATES WAKUU
salaam za dhat wakuu. Nashukuru sana kwa mawazo yenu yakutaka niweke mambo hadharan, na mm bila ajizi natiririka kama ifuatavyo
Galaxy s1-190000
Galaxy s2-300000
Galaxy s3-410000
Galaxy s4-570000
Galaxy note 1-300000
Galaxy note 2-500000
Galaxy note 3-810000
HTC one v-300000
HTC one s-330000
HTC one x- 420000
HTC one- 650000
WhatsApp +8613250770927