Kwa huduma za uchimbaji kisima

Joined
Jul 2, 2016
Posts
26
Reaction score
16
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu. Pia gharama za utafiti wa maji ( ground water survey ) ni shilingi 350000 tunapiga verse 2.
Tupo Dar es salaam piga simu namba 0655541948,0628080096
Nb: hizi bei ni kwa walioko Dar es salaam
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…