Kwa huduma za uchimbaji kisima

Kwa huduma za uchimbaji kisima

Joined
Jul 2, 2016
Posts
26
Reaction score
16
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu. Pia gharama za utafiti wa maji ( ground water survey ) ni shilingi 350000 tunapiga verse 2.
Tupo Dar es salaam piga simu namba 0655541948,0628080096
Nb: hizi bei ni kwa walioko Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom