mmmmm saut cha miaka mingi lakini kwa hapo kusema cha pili ni sawa kwasababu wao wamesema hata mimi naweza sema."ila yupo sawa labda kwa wingi wa watu na uzoefu,ila muhas iko wapi,hubert kairuki,mzumbe,sua, huyo anazingua bwana. mnataka anzisha ligi tu za vyuo hapo.toa hii