Kwa haya CHADEMA mnakosea

Nakuunga mkono kwa 100% Ni lazima hekima na busara itumike, la sivyo makosa kama hayo ambayo chadema wanafanya yanaweza kuwaondolea imani ya wananchi. Kamwe hawataweza kushika dola kama wananchi watapoteza imani nao.
 

CHADEMA Siasa maji 'taka'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…